SKNFX

Tibu Zaidi Ya Changamoto 7 Za Ngozi Kwa Kupaka hii bidhaa

Bado Unateseka Na Hizi Changamoto Za 10 Ngozi??

Hili Ndilo Suluhisho Pekee Unalohitaji

Imetengenezwa Kwa Viambata Vifuatavyo

1.Ceramides,lipids,cholesterol

huondoa wekundu na kutibu sensitive skin na walio ungua na cream

2.Hyaluronic Acid

Huongeza unyevu kwenye ngozi kavu

3.Niacinamide

Hung’arisha ngozi na kubalance mafuta

4.Vitamin C

Hung’arisha ngozi Iliyofubaa na kufuta madoa

5.Pethanol,B glucan

Hutuliza na kupoza ngozi na kusaidia kutibu chunusi

6.Peptides

Huondoa mikunjo usoni

Hizi Ndio Sababu 4 Wanawake wengi wanatumia bidhaa hii

1.Haichubui

Hivyo unatumia bila wasiwasi wa kuharibu ngozi yako kimyakimya

2.Haibagui ngozi

Haijalishi una ngozi ya mafuta,sensitive,kavu au ya chunusi unatumia bila wasiwasi

3.Inaokoa sana Muda

Hasa kama unatamani kutunza ngozi yako lakini huna muda wa kukaa kupaka mavipodozi mengi

4.Inaokoa sana Pesa

Ina viambata vingi kiasi kwamba ukisema ununue kila kimoja peke yake utajikuta unanunua bidhaa zaidi ya 5

Baadhi ya Wateja Wetu Walikua Na Haya Yakusema

Jinsi Ya Kutumia

Unapaka usoni usiku au mchana

Ukihitaji matokeo ya haraka unaweza kupaka mara mbili kwa siku

Tunapatikana

Kariakoo[Dar Es Salaam]
Kariakoo Na Jangwani

0714665114