1.Ceramides,lipids,cholesterol
huondoa wekundu na kutibu sensitive skin na walio ungua na cream
2.Hyaluronic Acid
Huongeza unyevu kwenye ngozi kavu
3.Niacinamide
Hung’arisha ngozi na kubalance mafuta
4.Vitamin C
Hung’arisha ngozi Iliyofubaa na kufuta madoa
5.Pethanol,B glucan
Hutuliza na kupoza ngozi na kusaidia kutibu chunusi
6.Peptides
Huondoa mikunjo usoni
1.Haichubui
Hivyo unatumia bila wasiwasi wa kuharibu ngozi yako kimyakimya
2.Haibagui ngozi
Haijalishi una ngozi ya mafuta,sensitive,kavu au ya chunusi unatumia bila wasiwasi
3.Inaokoa sana Muda
Hasa kama unatamani kutunza ngozi yako lakini huna muda wa kukaa kupaka mavipodozi mengi
4.Inaokoa sana Pesa
Ina viambata vingi kiasi kwamba ukisema ununue kila kimoja peke yake utajikuta unanunua bidhaa zaidi ya 5
Unapaka usoni usiku au mchana
Ukihitaji matokeo ya haraka unaweza kupaka mara mbili kwa siku