SKNFX

Kama Upo Nje Ya Dar Es Salaam Huu ndio Utaratibu wetu

Utatuma kwanza 5000 ya usafiri

Alaf pesa inayobaki yani 30,000/= utalipia ukipokea mzigo

Kama unahitaji maelezo zaidi au kumtuma mtu ofisini piga au tuma meseji whatsapp 0694655607

Kama umekubaliana na utaratibu wetu wa kulipia kwanza 5000 ndio utumiwe mzigo wako

TUNATUMA MIZIGO MIKOANI KWA UHAKIKA TOKA MWAKA 2022

Tena Zamani Ilikua Ukisema tuu unahitaji

Tunakutumia Bila wewe kutoa hata mia

Shida ikawa baadhi Ya Wateja Mzigo ukifika

Mnaanza Tena Kulazimishana kwenda kuchukua

Sababu Zinakua Nyingi mara nimesafiri,mara mama kaugua ghafla etc

Ikawa usumbufu sana

Ndio maana saivi kukupima kama kweli unahitaji

Ni Lazima Ulipie kwanza 5000 ya usafiri

Kama umekubaliana na utaratibu wetu wa kulipia kwanza 5000 ndio utumiwe mzigo wako

SKNFX@2026