Usifanye Hili Kosa Linalofanywa Na Wengi Wakidhani Wanafuta Madoa Kumbe Wanatengeneza Madoa Sugu Zaidi!!
Unapopata Chunusi Usoni 👇👇
Chunusi haiishii tu kutengeneza kidonda juu ya ngozi.
Pia huharibu msingi wa Ngozi yako na kuondoa ulinzi wa asili wa ngozi.!!
Ngozi inapogundua ulinzi wake umepungua👇👇
Hujaribu Kujilinda Kwa Kuongeza Uzalishaji Wa MELANINI
Na Hapo Ndio Tatizo Linapoanzia!!!
Kwa sababu kazi ya MELANIN sio kulinda ngozi tu…👇👇
Pia hufanya kazi ya kuipa Ngozi rangi yake nyeusi ya asili
Hivyo inapoongezeka sana sehemu moja…
Eneo hilo pia Weusi huongezeka na kuonekana kama doa usoni.
Kwa hiyo madoa usoni sio uchafu uliokaa juu ya Ngozi tuu
Ni dalili kwamba Ngozi yako inapambana kujilinda kutokea Ndani!!
Kosa Kubwa Wanalofanya Watu Wengi!!
Ni kuhangaika kufuta madoa kwa juu tuu kwa kutumia vipodozi vya kufuta madoa
Wanasahau kwamba
Bila kurejesha ulinzi wa Ngozi
Ngozi itaendelea kuzalisha MELANIN nyingi zaidi ili kujilinda
Na Madoa yataendelea kusumbua
Ukitaka Kuondoa Madoa Bila Kujichubua Ni Lazima 👇👇
1.Ujenge tena ulinzi wa ngozi ulioharibiwa na chunusi
2.Uisaidie ngozi izalisha kiwango sahihi cha melanin
3.Uondoe taratibu melanin iliyokusanyika tayari juu ya Ngozi na kuonekana kama madoa
Ukifanya hayo mambo 03
✅Madoa Yataisha Haraka Bila Kujichubua
⚠️Tatizo Kubwa Ni Kwamba!!!
Utalazimika kununua vipodozi 03 au zaidi!!
Ambavyo Vitakua Ni gharama kubwa
Ni kutumia Hii Bidhaa Moja Tuu Yenye uwezo wa kufanya Kazi zote 03
1.Ceramides,lipids,cholesterol
Hujenga upya ngozi iliyoharibiwa na chunusi na kurejesha ulinzi wake wa asili
2.Hyaluronic Acid
Huongeza unyevu kwenye ngozi kavu
3.Niacinamide
Hung’arisha ngozi na kubalance mafuta
4.Vitamin C
Hung’arisha ngozi Iliyofubaa na kufuta madoa
5.Pethanol,B glucan
Hutuliza na kupoza ngozi na kusaidia kutibu chunusi
6.Peptides
Huondoa mikunjo usoni
1.Haichubui
Hivyo unatumia bila wasiwasi wa kuharibu ngozi yako kimyakimya
2.Haibagui ngozi
Haijalishi una ngozi ya mafuta,sensitive,kavu au ya chunusi unatumia bila wasiwasi
3.Inaokoa sana Muda
Hasa kama unatamani kutunza ngozi yako lakini huna muda wa kukaa kupaka mavipodozi mengi
4.Inaokoa sana Pesa
Ina viambata vingi kiasi kwamba ukisema ununue kila kimoja peke yake utajikuta unanunua bidhaa zaidi ya 5
Unapaka usoni usiku au mchana
Ukihitaji matokeo ya haraka unaweza kupaka mara mbili kwa siku
Bei Ya Ofa Ni 35,000 Tuu
Badala Ya 55,000/=
Unapata Chupa Ya Kutumia Miezi 2 Hadi 3
Sabuni Hii Itakusaidia
1.Kufyonza Sumu Za Vipodozi Vikali Usoni
2.Kupunguza mafuta na chunusi
3.Kung’arisha ngozi
Bei Yake Hua ni 25,000/=
Lakini Kama Ukiwahi Utapewa BUREE!!!