Vipodozi vya kukusaidia vitaongeza zaidi tatizo kama bado unafanya hili kosa 01 unapo osha uso wako🔥🔥🔥
✅ Uso unakua mkavu
✅ Mafuta yanakauka
✅ Ngozi inakua ngumu sio laini
✅ Muda mwingine hadi inakakamaa
✅ Unahisi hadi ngozi inavuta
✅ Muda mwingine hadi unawashwa na kuchomwachomwa
Ngozi inapobaki bila ulinzi
Vipodozi vilivyotakiwa kukusaidia huingia ndani zaidi
Ambako havitakiwi kufika na kusababisha matatizo zaidi!!!
HIVYO UNAPOPAKA VIPODOZI VYA KUKUSAIDIA
UNAKUA KAMA UNAZIMA MOTO KWA PETROLI!!!
1️⃣ Unaosha uso na sabuni ambayo sio sahihi
2️⃣ Unaondoa ulinzi wa ngozi bila kujua
3️⃣ Vipodozi vinaingia ambako havitakiwi kufika
4️⃣ Matatizo yanaongezeka au hayaishi
5️⃣ Unabadilisha kipodozi ukidhani ndicho tatizo
Chunusi na madoa vitaisha kwa urahisi
Weusi mashavuni na chini ya macho utaisha
Wekundu mashavuni pia utaisha
Mikunjo itapungua
Utabaki na rangi moja yenye afya
1.Ceramides
Hujenga upya ngozi iliyoharibiwa na chunusi vipodozi,jua n.k
2.Hyaluronic Acid
Huongeza unyevu kwenye ngozi kavu
3.Niacinamide
Hung’arisha ngozi na kubalance mafuta
4.Pethanol
Hutuliza na kupoza ngozi na kusaidia kutibu chunusi
5.Amino acid
Husafisha ngozi kwa upole
1.Haichubui
Hivyo unatumia bila wasiwasi wa kuharibu ngozi yako kimyakimya
2.Haibagui ngozi
Haijalishi una ngozi ya mafuta,sensitive,kavu au ya chunusi unatumia bila wasiwasi
3.Inaokoa sana Muda
Hasa kama unatamani kutunza ngozi yako lakini huna muda wa kukaa kupaka mavipodozi mengi
4.Inaokoa sana Pesa
Ina viambata vingi kiasi kwamba ukisema ununue kila kimoja peke yake utajikuta unanunua bidhaa zaidi ya 5
Asubuhi na Jioni
Chupa 01 ni 20,000/=
Chupa 02 Ni 30,000/=