Aina Ya Ngozi
Kiwango Cha Unyevu Kwenye ngozi
Kiwango Cha Mafuta Juu Na Ndani Ya Ngozi
Uimara wa Ngozi
Uwezo wa Kustahimili kipodozi hicho
Kiwango Cha Wadudu Au Backteria Juu Ya Ngozi
Umri Wa Ngozi Yako [Unaweza Kua una miaka 25 lakini ngozi ina miaka 55]
Kiwango cha madoa chini Ya Ngozi
Na Ndio maana sisi hua tunashauri uanze matibabu kwa kupima uso wako kwanza Uache kubahatisha
“Kukimbilia Kutumia Vipodozi Bila Kupima Uso Ni Sawa Na Kutembea Gizani Bila Tochi utaishia kupotea tuu
Process ni rahisi na inaanza kwa kuifahamu ngozi yako kabla ya kupewa ushauri.
Ngozi yako itapimwa kwa kutumia mashine maalum ya kupima ngozi.
Utaelezewa hali ya ngozi yako kutokana na taarifa zilizopatikana kwenye kipimo.
Utapata ushauri kutoka kwa mtaalamu kuhusu vipodozi vinavyoendana na hali ya ngozi yako.
Hawa Ni Baadhi Ya Watu Waliotumia Tube Hii Baada Ya Kupima Kwanza Ngozi Zao
UNATAKA MATOKEO KAMA HAYO???
Tumia ramani hapa chini kupata maelekezo ya moja kwa moja hadi ofisini kwetu.
Mtaa wa Kariakoo na Jangwani
Hadi saa 12:00 jioni
Ramani itafunguka kwenye Google Maps