Sabunicream,scrubserum n.k
hufuta madoa vizuri sana kwa nje
Lakini hazizuii Ngozikuendelea kuzalisha madoa mapya
Ndio maana mara nyingi madoa hayo hurudi tena
ata baada ya kutumia vipodozi vya gharama sana
Sio kwa sababuDawa hazifanyi kazi au ni feki
Ni kwasababu
Madoa kwenye Ngozi sio tatizo
Ni njia ya Ngozi kujilinda
Unapokua na Madoa
Ni dalili kwamba Ngozi yako iko vitani
Na hayo MadoaNdio askari wanaotengenezwa ili kukulinda
Wewe unadhani Unafuta madoa
Kumbe unaua maaskari wako
Na Ngozi haiwezi kukubali Kukaa bila maaskari wake
tena wakati wa vita
Ndio maana
Ata ufute vipi madoa itayazalisha tena ili kujilinda
Unabaki kudhania madoa yako ni sugu
Kumbe ni Ngozi yako inapambana kukulinda
Kuhangaika kufuta madoabila kujua kinachoishambulia Ngozi
Ni sawa na kupaka rangiukuta uliopasuka
Badala ya kuujenga upya
Bahati mbaya
Ni ngumu kujua kinachoishambulia Ngozikwa macho tuu
Kwasababukinaweza kua ndani au nje ya Ngozi
Bila vipimo sahihi Matibabu inakua ni ya kubahatisha
Kwa vipimo na msaada zaidiUnaweza kufika ofisini kwetuKariakoo,Dar Es Salaam
Gharama ya kuonana na mtaalamu ni 10,000/= tubadala ya 35,000/=
Hautalipa hii gharama kama utanunua bidhaa yoyote
Na utapimwa Ngozi buree kwa wiki hii tu
Tunatumia Vifaa Vya Kisasa Kupima Ngozi
Tazama Namna Mashine Inavyofanya kazi
Kama Upo Dar Es Salaam
Na Unaweza Fika Kariakoo Kwa Ajili Ya Vipimo WIKI HII
[Hauingii kariakoo ndani kule kwenye msongamano mkubwa wa watu]
Jaza fomu hii