Usiendelee Kufanya Hili Kosa 01 Ukidhani Unatibu Tatizo Kumbe Unaongeza Tatizo Bila Kujua!!!
Chunusi Nyingi Hutokana Na Mafuta Mengi Usoni!!
Lakini Pia Mafuta
1.Husaidia kulainisha Ngozi
2.Husaidia ngozi kutunza maji na unyevu
Unapotumia Dawa Za Kukausha Chunusi Ovyo ovyo Hiki ndio hutokea
1.Zinakausha mafuta usoni
2.Ngozi Inapoteza Maji Mengi
3.Inakua Kavu Inakakamaa
4.Inazalisha Mafuta Mengine mengi zaidi
5.Mafuta Mengi Yanaziba Vitundu Usoni
6.Wadudu wanazaliana usoni
7.Chunusi Zinarudi tena
Ili Utibu Chunusi Na Zisirudi Tena
1.Unatakiwa kubalance mafuta badala ya kuhangaika kuyakausha
2.Kuhakikisha Ngozi yako ina unyevu na maji ya kutosha
Ukifanya hayo mambo 02
✅Mafuta yatapungua usoni
✅Pia wadudu watapungua usoni
✅Chunusi zitakauka na hazitarudi tena
⚠️Tatizo Kubwa Ni Kwamba!!!
Utalazimika kununua vipodozi 02 au zaidi!!
Ambavyo Vitakua Ni gharama kubwa
Ni kutumia Hii Bidhaa Moja Tuu Yenye uwezo wa kufanya Kazi zote 02👇👇
1.Ceramides,lipids,cholesterol
Hujenga upya ngozi iliyoharibiwa na chunusi pia huondoa kuwasha na kuchomwachomwa usoni
2.Hyaluronic Acid
Huongeza unyevu kwenye ngozi kavu
3.Niacinamide
Hung’arisha ngozi na kubalance mafuta
4.Vitamin C
Hung’arisha ngozi Iliyofubaa na kufuta madoa
5.Pethanol,B glucan
Hutuliza na kupoza ngozi na kusaidia kutibu chunusi
6.Peptides
Huondoa mikunjo usoni
1.Haichubui
Hivyo unatumia bila wasiwasi wa kuharibu ngozi yako kimyakimya
2.Haibagui ngozi
Haijalishi una ngozi ya mafuta,sensitive,kavu au ya chunusi unatumia bila wasiwasi
3.Inaokoa sana Muda
Hasa kama unatamani kutunza ngozi yako lakini huna muda wa kukaa kupaka mavipodozi mengi
4.Inaokoa sana Pesa
Ina viambata vingi kiasi kwamba ukisema ununue kila kimoja peke yake utajikuta unanunua bidhaa zaidi ya 5
Unapaka usoni usiku au mchana
Ukihitaji matokeo ya haraka unaweza kupaka mara mbili kwa siku
Bei Ya Ofa Ni 35,000 Tuu
Badala Ya 55,000/=
Unapata Chupa Ya Kutumia Miezi 2 Hadi 3
Sabuni Hii Itakusaidia
1.Kufyonza Sumu Za Vipodozi Vikali Usoni
2.Kupunguza mafuta na chunusi
3.Kung’arisha ngozi
Bei Yake Hua ni 25,000/=
Lakini Kama Ukiwahi Utapewa BUREE!!!