Itakua vibaya kuzitaja Kwa Majina
Lakini Ukweli ni kwamba
Face cream nyingi na tube za bei rahisi
Zinazouzwa pharmacy hadi 5000
Huondoa wekundu na weusi haraka sana
Lakini unapoacha tuu kuzipaka au baada ya muda
Wekundu na weusi hurudi ukiwa Sugu Zaidi
Kama Unatumia Vipodozi Na una ona baadhi Ya hizi Dalili 05
1.Ukipigwa jua tuu wekundu unaongezeka
2.Unatumia face cream inakusaidia lakini ukiacha tuu wekundu unarudi na Weusi unaongezeka
3.Uso una washa sana ukipaka chochote
4.Ngozi imekua Sensitive
5.Unapaka face cream inakukubali mwanzoni tuu alaf baadae inakukataa
Hizo ni dalili kwamba msingi wa Ngozi yako umeharibika