Watu wengiHudhani wamezaliwa na ngozi za mafuta
Kitu ambacho sio kweli
Hivyo hatua ya kwanza ni kujua
Je ni kweli
Wewe umezaliwa na Ngozi ya mafuta??
Kama haujazaliwa na Ngozi ya mafuta
Je ni kwasababu
Unachanganya vipodozi??Unatumia vipodozi vikali bila kujua??Mabadiriko ya homoni??Ngozi yako ni kavu??Ngozi yako inareact na baadhi ya vipodozi??
Shida ni kwamba
Huwezi kuvigundua
Hivyo vyote kwa kuiangalia ngozi kwa macho tuu
Bila vipimo sahihi
Badala ya kupunguza
Utajikuta unaongeza zaidi mafuta
Kwa vipimo na msaada zaidiUnaweza kufika ofisini kwetuKariakoo,Dar Es Salaam
Gharama yakuonana na mtaalamu ni 10,000/= tu
badala ya 35,000/=
Hautalipa hii gharama kama utanunua bidhaa yoyote
Na utapimwa Ngozi bureekwa wiki hii tu
Tunatumia Vifaa Vya Kisasa Kupima Ngozi
Tazama Namna Mashine Inavyofanya kazi
Kama Upo Dar Es Salaam
Na Unaweza Fika Kariakoo Kwa Ajili Ya Vipimo WIKI HII
[Hauingii kariakoo ndani kule kwenye msongamano mkubwa wa watu]
Jaza fomu hii