Usiendelee Kufanya Hili Kosa 01 Ukidhani Unaondoa Weusi Kumbe Unatengeneza Weusi Sugu Zaidi Wa Baadae
Huo Weusi Usoni Sio Sawa Na Masizi Juu Ya Sufuria Kama Wengi Wanavyodhani
Hivyo Haiwezekani Kuondoa Milele Kwa Kuusugua na Scrub Au Cream Kali Zinazoufuta Kwa Juu Tuu!!!
Unapolazimisha Kuuondoa Kwa Cream Kali Unakua Unaharibu Ngozi Zaidi Kwasababu
Unakua Unaondoa MELANINI kwenye Ngozi Ambayo Hufanya Hizi Kazi Mbili Muhimu
✅Huipa Ngozi yako rangi yake ya asili
✅Hufanya kazi kama maaskari wanaolinda Ngozi yako
Unapoondoa MELANINI kwa Nguvu Weusi Hupungua Haraka Lakini!!!
Unakua Umetengeneza tatizo zaidi kwasababu pia umeondoa Ulinzi Wa asili wa ngozi yako
Sasa Inapotokea cream imeishiwa nguvu au umeacha kuitumia
Ngozi hujaribu kurudisha rangi yako ya asili na ulinzi wa Ngozi yako kwa kuzalisha MELANIN nyingi zaidi usoni
Matokeo Yake
✅Weusi Unarudi Na Kuongezeka zaidi usoni
✅Uso unafubaa zaidi
Hivyo unalazimika kubadili kipodozi au kutafuta chenye nguvu zaidi ili ung’arishe tena Ngozi yako
Mwisho wa siku unajikuta umenasa kwenye huu mtego bila kujua
1.Unatumia kipodozi cha kung’arisha uso
2.Kinapunguza MELANINI kwenye ngozi
3.Uso unang’aa na kupendeza
4.Ngozi inakosa ulinzi wa asili
5.Inazalisha melanin nyingi zaidi kurudisha ulinzi
6.Weusi unaongezeka zaidi na uso unafubaa
Ili Utibu Weusi Na Usirudi Tena
1.Ujenge tena ulinzi wa ngozi ulioharibiwa na chunusi
2.Uisaidie ngozi izalisha kiwango sahihi cha melanin
3.Uondoe taratibu melanin iliyokusanyika tayari juu ya Ngozi na kuonekana kama madoa
Ukifanya hayo mambo 03
Weusi Utaisha Haraka Na Hautarudi Tena
⚠️Tatizo Kubwa Ni Kwamba!!!
Utalazimika kununua vipodozi 03 au zaidi!!
Ambavyo Vitakua Ni gharama kubwa
Ni kutumia Hii Bidhaa Moja Tuu Yenye uwezo wa kufanya Kazi zote 03
1.Ceramides,lipids,cholesterol
Hujenga upya ngozi iliyoharibiwa na cream kali na kurejesha ulinzi wake wa asili
2.Hyaluronic Acid
Huongeza unyevu kwenye ngozi kavu
3.Niacinamide
Hung’arisha ngozi na kubalance mafuta
4.Vitamin C
Hung’arisha ngozi Iliyofubaa na kufuta madoa
5.Pethanol,B glucan
Hutuliza na kupoza ngozi na kusaidia kutibu chunusi
6.Peptides
Huondoa mikunjo usoni
1.Haichubui
Hivyo unatumia bila wasiwasi wa kuharibu ngozi yako kimyakimya
2.Haibagui ngozi
Haijalishi una ngozi ya mafuta,sensitive,kavu au ya chunusi unatumia bila wasiwasi
3.Inaokoa sana Muda
Hasa kama unatamani kutunza ngozi yako lakini huna muda wa kukaa kupaka mavipodozi mengi
4.Inaokoa sana Pesa
Ina viambata vingi kiasi kwamba ukisema ununue kila kimoja peke yake utajikuta unanunua bidhaa zaidi ya 5
Unapaka usoni usiku au mchana
Ukihitaji matokeo ya haraka unaweza kupaka mara mbili kwa siku
Bei Ya Ofa Ni 35,000 Tuu
Badala Ya 55,000/=
Unapata Chupa Ya Kutumia Miezi 2 Hadi 3
Sabuni Hii Itakusaidia
1.Kufyonza Sumu Za Vipodozi Vikali Usoni
2.Kupunguza mafuta na chunusi
3.Kung’arisha ngozi
Bei Yake Hua ni 25,000/=
Lakini Kama Ukiwahi Utapewa BUREE!!!