Unauona huo wekundu niliouzungushia upande wa kulia??
Ni vidonda vingi vidogovidogo visivyoonekana kwa macho ya kawaida
Vidonda hivyo ndio mzizi wa matatizo mengi sana usoni na watu wengi hawajui hilo
Vinapoongezeka huonekana kama wekundu hasa mashavuni
Na unapochomwa na jua wekundu huu huongezeka zaidi
Pia huwasha sana na ukipaka chochote unahisi kuchomwachomwa au kuungua
Unakua kama umemwaga chumvi kwenye kidonda
Na kwasababu vidonda hivi viko wazi
Ngozi Hupoteza maji kwa urahisi
uso unakua mkavu,unafubaa inakua rahisi kutengeneza mikunjo
Ngozi hujaribu kuzuia maji yasipotee kwa kuzalisha mafuta zaidi
Lakini huishia kukauka zaidi kwasababu maji huendelea kupotea
Na ikikauka zaidi huanza kubabuka na kubanduka
Vidonda vinazidi kua wazi inakua rahisi wadudu kuingia na kuzaliana
Wadudu hao wanasababisha vipele, mba utangotango na chunusi za mara kwa mara
Na vikianza kupona vinatengeneza makovu ambayo huonekana kama madoa usoni
Madoa sugu ni dalili ya vidonda ambavyo bado havijapona vizuri
Dalili hizi sio lazima zitokee kwa mtiririko huu hutegemea na mtu,wingi na ukubwa wa vidonda
Unaweza kudhani una matatizo mengi ya Ngozi kumbe una Tatizo moja tuu
Ngozi yako ina vidonda visivyoonekana
Hivyo imepoteza uwezo wake wa kujilinda
Kitu ambacho ndio msingi wa Ngozi yenye afya na mvuto
Hauwezi kutibu changamoto yoyote ya Ngozi kama tayari msingi umeharibika
Ndio maana Kutumia vipodozi vya gharama bila kujenga msingi imara
Ni sawa na kujenga nyumba ya gharama kwenye msingi mbovu
Itaanguka tuu
Hivyo hatua ya kwanza na ya muhimu ni kujenga msingi imara wa Ngozi yako
Yani kutibu vile vidonda na kurejesha uwezo wa Ngozi kujilinda
Kama unahitaji kufahamu hali ya msingi wa Ngozi yako
Na hatua 04 muhimu za kuuimarisha kama tayari umeharibika
Jaza Taarifa Zako Hapo Chini Kutumiwa Melekezo Zaidi BUREE whatsapp